4 Na ua linalonyauka+ la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba litakuwa kama tini ya mapema+ kabla ya wakati wa kiangazi, ambayo, wakati mwonaji anapoiona, ikiwa bado mkononi mwake, yeye huimeza.
12 Mahali pako pote penye ngome ni kama mitini iliyo na matunda ya kwanza yaliyoiva, ambayo, ikitikiswa-tikiswa, yataanguka katika kinywa cha mwenye kula.+