31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
13 “Na katika manabii wa Samaria+ mimi nimeona jambo lisilofaa. Wametenda kama manabii waliochochewa na Baali,+ nao wanaendelea kuwafanya watu wangu, Israeli, waende huku na huku.+