Waroma 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Andiko linasema: “Yeyote anayemwamini+ hatakata tamaa.”+ 1 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+
33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+
6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+