Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+
24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+