Isaya 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova pia atafanya utosi wa binti za Sayuni kuwa na vigaga,+ na Yehova mwenyewe atafunua wazi paji la uso wao.+ Yeremia 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitaangamiza kutoka ndani yao sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mkononi+ na nuru ya taa.+
17 Yehova pia atafanya utosi wa binti za Sayuni kuwa na vigaga,+ na Yehova mwenyewe atafunua wazi paji la uso wao.+
10 Nami nitaangamiza kutoka ndani yao sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mkononi+ na nuru ya taa.+