Isaya 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sikieni neno la Yehova,+ enyi madikteta+ wa Sodoma.+ Tegeni sikio kwa sheria ya Mungu wetu, ninyi watu wa Gomora. Isaya 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Madikteta+ wako wote wamekimbia kwa wakati mmoja.+ Wamechukuliwa kuwa wafungwa bila kuhitaji upinde. Watu wako wote ambao wamepatikana wamechukuliwa kuwa wafungwa pamoja.+ Walikuwa wamekimbia kwenda mbali. Yohana 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Yesu, akijua walikuwa karibu kuja kumkamata wamfanye kuwa mfalme, akaondoka+ tena kwenda mlimani akiwa peke yake.
10 Sikieni neno la Yehova,+ enyi madikteta+ wa Sodoma.+ Tegeni sikio kwa sheria ya Mungu wetu, ninyi watu wa Gomora.
3 Madikteta+ wako wote wamekimbia kwa wakati mmoja.+ Wamechukuliwa kuwa wafungwa bila kuhitaji upinde. Watu wako wote ambao wamepatikana wamechukuliwa kuwa wafungwa pamoja.+ Walikuwa wamekimbia kwenda mbali.
15 Kwa hiyo Yesu, akijua walikuwa karibu kuja kumkamata wamfanye kuwa mfalme, akaondoka+ tena kwenda mlimani akiwa peke yake.