Isaya 36:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu+ karani,+ wakatoka nje, wakamjia.
3 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu+ karani,+ wakatoka nje, wakamjia.