Isaya 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi: “Msiogope, enyi watu wangu mnaokaa katika Sayuni,+ kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na aliyekuwa akiinua fimbo yake juu yenu kama Misri alivyofanya.+
24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi: “Msiogope, enyi watu wangu mnaokaa katika Sayuni,+ kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na aliyekuwa akiinua fimbo yake juu yenu kama Misri alivyofanya.+