Zaburi 89:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakati huo uliongea na washikamanifu wako katika maono,+Nawe ukasema:“Nimempa mwenye nguvu msaada;+Nimemwinua aliyechaguliwa kutoka katikati ya watu.+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+ 1 Petro 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mkimjia yeye kama kulijia jiwe lililo hai,+ lililokataliwa,+ ni kweli, na wanadamu,+ bali lililochaguliwa, lenye thamani, kwa Mungu,+
19 Wakati huo uliongea na washikamanifu wako katika maono,+Nawe ukasema:“Nimempa mwenye nguvu msaada;+Nimemwinua aliyechaguliwa kutoka katikati ya watu.+
35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
4 Mkimjia yeye kama kulijia jiwe lililo hai,+ lililokataliwa,+ ni kweli, na wanadamu,+ bali lililochaguliwa, lenye thamani, kwa Mungu,+