Kutoka 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nao wana wa Israeli, walitembea juu ya nchi kavu katikati ya sakafu ya bahari,+ nayo maji yalikuwa kwao ukuta mkono wao wa kuume na wa kushoto.+ Yoshua 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 mara tu wachukuaji wa lile Sanduku walipofika Yordani na miguu ya makuhani waliolichukua Sanduku ilipotumbukizwa katika maji ya ukingoni (maana Yordani hufurika kingo+ zake zote siku zote za mavuno), Zaburi 66:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Umemfanya mwanadamu anayeweza kufa apande juu ya kichwa chetu;+Tumepita katikati ya moto na katikati ya maji,+Nawe ukatuleta kwenye kitulizo.+ Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+
29 Nao wana wa Israeli, walitembea juu ya nchi kavu katikati ya sakafu ya bahari,+ nayo maji yalikuwa kwao ukuta mkono wao wa kuume na wa kushoto.+
15 mara tu wachukuaji wa lile Sanduku walipofika Yordani na miguu ya makuhani waliolichukua Sanduku ilipotumbukizwa katika maji ya ukingoni (maana Yordani hufurika kingo+ zake zote siku zote za mavuno),
12 Umemfanya mwanadamu anayeweza kufa apande juu ya kichwa chetu;+Tumepita katikati ya moto na katikati ya maji,+Nawe ukatuleta kwenye kitulizo.+
29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+