Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Upotovu wenu! Je, mfinyanzi ahesabiwe kama udongo?+ Kwa maana, je, kitu kilichofanywa kiseme hivi kumhusu mwenye kukifanya: “Yeye hakunifanya”?+ Na je, kitu ambacho kimefanywa kwa kweli kiseme kumhusu mwenye kukifanya: “Hakuonyesha uelewaji”?+

  • Yeremia 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Je, mimi siwezi kuwatendea kama mfinyanzi huyu alivyotenda, enyi nyumba ya Israeli?’ asema Yehova. ‘Tazama! Kama udongo mkononi mwa mfinyanzi, ndivyo ninyi mlivyo mkononi mwangu, enyi nyumba ya Israeli.+

  • Waroma 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi, Ee mwanadamu,+ kwa kweli wewe ni nani ndipo uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yeye aliyekifinyanga, “Kwa nini ulinifanya mimi hivi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki