Ezekieli 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+