Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+

      Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+

  • Isaya 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+

  • Isaya 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki