Zaburi 69:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+
20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+