Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema.

  • Isaya 66:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Nami nitatia ishara katikati yao,+ nami nitawapeleka baadhi ya wale walioponyoka kwenda kwenye mataifa,+ Tarshishi,+ Pulu, na Ludi,+ wale wanaouvuta upinde, Tubali na Yavani,+ visiwa vilivyo mbali,+ ambao hawajasikia habari kunihusu mimi wala kuuona utukufu wangu;+ nao hakika watatangaza juu ya utukufu wangu kati ya mataifa.+

  • Yeremia 50:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wataendelea kuuliza njia ya kwenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ wakisema, ‘Njooni, tujiunge pamoja na Yehova katika agano ambalo halitasahauliwa, linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki