Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,

  • 2 Petro 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+

  • 2 Petro 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+

      Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki