Matendo 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 2 Petro 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+ 2 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+
29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+
10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+