10 Kwa hiyo nikaingia na kuanza kuona, na, tazama! kulikuwa na kila mfano+ wa vitu vyenye kutambaa na wanyama wenye kuchukiza,+ na sanamu zote za mavi za nyumba ya Israeli,+ michongo hiyo ikiwa juu ya ukuta kuuzunguka pande zote.
14 Naye akazidi kuongezea matendo yake ya ukahaba alipowaona wanaume waliochongwa ukutani,+ sanamu+ za Wakaldayo zilizochongwa na kupakwa rangi nyekundu,+