Zaburi 48:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu huyu ni Mungu wetu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Yeye mwenyewe atatuongoza mpaka tufe.+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
14 Kwa maana Mungu huyu ni Mungu wetu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Yeye mwenyewe atatuongoza mpaka tufe.+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+