Isaya 48:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Hakuna amani,” Yehova amesema, “kwa waovu.”+ Yeremia 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja;+ wakati wa kuponywa, lakini, tazama! hofu!+