Ezra 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na baada ya yote ambayo yamekuja juu yetu kwa sababu ya matendo yetu mabaya+ na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu, umepunguza uzito wa makosa yetu,+ nawe umetupa sisi wale walioponyoka kama hawa+— Nehemia 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nawe ni mwadilifu+ kuhusu mambo yote ambayo yametupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu,+ lakini sisi ndio tumetenda kwa uovu.+ Danieli 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+
13 Na baada ya yote ambayo yamekuja juu yetu kwa sababu ya matendo yetu mabaya+ na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu, umepunguza uzito wa makosa yetu,+ nawe umetupa sisi wale walioponyoka kama hawa+—
33 Nawe ni mwadilifu+ kuhusu mambo yote ambayo yametupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu,+ lakini sisi ndio tumetenda kwa uovu.+
5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+