Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nawe hakika utasema moyoni mwako, ‘Ni nani amekuwa baba ya hawa kwa ajili yangu, kwa kuwa mimi ni mwanamke aliyefiwa na watoto na ni tasa, aliyeenda uhamishoni na kufungwa?+ Na kwa habari ya hawa, ni nani amewalea?+ Tazama! Mimi mwenyewe nilikuwa nimeachwa nyuma peke yangu.+ Hawa—wamekuwa wapi?’”+

  • Hagai 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Yohana 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+

  • Ufunuo 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mmoja wa wale wazee+ akajibu, akaniambia: “Hawa waliovaa kanzu nyeupe,+ wao ni nani nao walitoka wapi?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki