Methali 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini njia ya waadilifu ni kama nuru inayong’aa, inayozidi kuongezeka mpaka mchana mkamilifu.+ Isaya 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+
26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+