9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+
5 “Mwambieni binti Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ mwenye tabia-pole,+ naye amepanda juu ya punda, ndiyo, juu ya mwana-punda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’ ”+