Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+

      Husimama katika njia isiyo nzuri.+

      Hakatai lililo baya.+

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Yeremia 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii,+ nikiamka mapema na kuwatuma, na kusema, ‘Tafadhali rudini, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ nanyi fanyeni matendo yenu kuwa mema,+ wala msiifuate miungu mingine ili kuitumikia.+ Na mwendelee kukaa katika nchi ambayo nimewapa ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamkutega sikio lenu, wala hamkunisikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki