Ezekieli 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wakaaji wa majiji ya Israeli hakika wataenda na kuteketeza na kuwasha mioto kwa silaha na ngao ndogo na ngao kubwa,—kwa pinde na kwa mishale na kwa fimbo na kwa mikuki; nao watazitumia kuwasha mioto+ kwa miaka saba.
9 Na wakaaji wa majiji ya Israeli hakika wataenda na kuteketeza na kuwasha mioto kwa silaha na ngao ndogo na ngao kubwa,—kwa pinde na kwa mishale na kwa fimbo na kwa mikuki; nao watazitumia kuwasha mioto+ kwa miaka saba.