Isaya 65:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema.
25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema.