7 Nawe uliendelea kusema: “Mpaka wakati usio na kipimo mimi nitakuwa Bimkubwa,+ milele.” Hukuweka mambo haya moyoni mwako; hukukumbuka mwisho wa jambo hilo.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+