2 Wathesalonike 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+
4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+