Hesabu 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+ Yoshua 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na eneo lao likawa kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katikati ya bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu, karibu na Medeba;+
30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+
16 na eneo lao likawa kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katikati ya bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu, karibu na Medeba;+