Ezra 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa hiyo utanunua kwa pesa hizo mara moja ng’ombe-dume,+ kondoo-dume,+ wana-kondoo+ na matoleo yao ya nafaka+ na matoleo yao ya kinywaji+ nawe utavileta kwenye madhabahu ya nyumba ya Mungu wenu,+ iliyoko Yerusalemu.+
17 kwa hiyo utanunua kwa pesa hizo mara moja ng’ombe-dume,+ kondoo-dume,+ wana-kondoo+ na matoleo yao ya nafaka+ na matoleo yao ya kinywaji+ nawe utavileta kwenye madhabahu ya nyumba ya Mungu wenu,+ iliyoko Yerusalemu.+