Yeremia 50:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Mfalme wa Babiloni amesikia habari juu yao,+ na mikono yake imelegea.+ Kuna taabu! Maumivu makali yamemshika, kama mwanamke anayezaa.+ 1 Wathesalonike 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+
43 “Mfalme wa Babiloni amesikia habari juu yao,+ na mikono yake imelegea.+ Kuna taabu! Maumivu makali yamemshika, kama mwanamke anayezaa.+
3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+