Yeremia 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’ Yeremia 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hali yenye kushangaza, ndiyo, jambo lenye kuchukiza sana, limetokezwa katika nchi:+
13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’