Yeremia 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati halitaitwa tena Tofethi na bonde la mwana wa Hinomu, bali bonde la uuaji;+ nao watazika katika Tofethi bila ya kuwa na nafasi ya kutosha hapo.+
32 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati halitaitwa tena Tofethi na bonde la mwana wa Hinomu, bali bonde la uuaji;+ nao watazika katika Tofethi bila ya kuwa na nafasi ya kutosha hapo.+