12 na Adaya mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkiya, na Maasai mwana wa Adieli mwana wa Yahzera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemithi+ mwana wa Imeri,
38Na Shefatia mwana wa Matani na Gedalia mwana wa Pashuri na Yukali+ mwana wa Shelemia na Pashuri mwana wa Malkiya+ wakayasikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akiwaambia watu wote,+ akisema: