Ezekieli 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, ninyi hamkuona maono yasiyo ya kweli, na kusema uaguzi wa uwongo, mnaposema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo mimi mwenyewe sikusema lolote?” ’+
7 Je, ninyi hamkuona maono yasiyo ya kweli, na kusema uaguzi wa uwongo, mnaposema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo mimi mwenyewe sikusema lolote?” ’+