-
Kumbukumbu la Torati 13:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+
-
-
Yeremia 29:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 basi Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Shemaya+ wa Nehelamu na juu ya uzao wake.’+
“‘“‘Hatakuwa na mtu anayekaa katikati ya kikundi hiki cha watu;+ wala hatautazama wema ambao nitawafanyia watu wangu,’+ asema Yehova, ‘kwa maana amesema maasi ya waziwazi juu ya Yehova.’”’”+
-