19 Sikiliza, Ee dunia! Tazama, ninaleta msiba juu ya watu+ hawa kama matunda ya fikira zao,+ kwa maana hawakuyasikiliza maneno yangu; na sheria yangu—pia waliendelea kuikataa.”+
27 Kwa maana moyo wa watu hawa umekuwa mgumu, na kwa masikio yao wamesikia bila kuitikia, nao wamefunga macho yao; ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa moyo wao na kugeuka, nami niwaponye.” ’+