27 Tazama, ninakaa macho kuwaelekea wao kwa ajili ya msiba wala si kwa ajili ya mema;+ na watu wote wa Yuda walio katika nchi ya Misri hakika watamalizika kwa upanga na kwa njaa, mpaka watakapokoma kuwapo.+
14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+