59 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Mimi pia lazima nikutendee wewe kama vile ulivyotenda,+ kwa sababu ulikidharau kiapo kwa kuvunja agano langu.+
9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+