Zekaria 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+
16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+