Yeremia 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia: “Ni kwa njia gani nimetenda dhambi juu yako na juu ya watumishi wako na juu ya kikundi hiki cha watu,+ hivi kwamba mmenitia kizuizini? Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia: “Ni kwa njia gani nimetenda dhambi juu yako na juu ya watumishi wako na juu ya kikundi hiki cha watu,+ hivi kwamba mmenitia kizuizini?
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+