Nehemia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+ Yeremia 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amefungiwa katika Ua wa Walinzi,+ likisema:
25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
33 Na neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amefungiwa katika Ua wa Walinzi,+ likisema: