Nehemia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba, mara tu adui zetu+ waliposikia jambo hilo na mataifa yote yaliyotuzunguka kuona jambo hilo, mara moja wakaona aibu sana machoni pao wenyewe, nao wakatambua kwamba kazi hii ilifanywa kutokana na msaada wa Mungu wetu.+
16 Na ikawa kwamba, mara tu adui zetu+ waliposikia jambo hilo na mataifa yote yaliyotuzunguka kuona jambo hilo, mara moja wakaona aibu sana machoni pao wenyewe, nao wakatambua kwamba kazi hii ilifanywa kutokana na msaada wa Mungu wetu.+