Yeremia 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati wowote nikisema juu ya taifa na juu ya ufalme ili kuung’oa na kuubomoa na kuuharibu,+ Ezekieli 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+