Yeremia 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 yaani, Yerusalemu na majiji ya Yuda na wafalme wake, wakuu wake, ili kuyafanya kuwa ukiwa, kitu cha kushangaza,+ kitu cha kupigiwa mluzi na laana, kama ilivyo leo hii;+ Danieli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nasi hatukuwasikiliza watumishi wako manabii,+ ambao kwa jina lako wamesema na wafalme wetu, wakuu wetu na mababu zetu na watu wote wa nchi.+
18 yaani, Yerusalemu na majiji ya Yuda na wafalme wake, wakuu wake, ili kuyafanya kuwa ukiwa, kitu cha kushangaza,+ kitu cha kupigiwa mluzi na laana, kama ilivyo leo hii;+
6 Nasi hatukuwasikiliza watumishi wako manabii,+ ambao kwa jina lako wamesema na wafalme wetu, wakuu wetu na mababu zetu na watu wote wa nchi.+