Yeremia 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo tunaendelea kuitii sauti ya Yehonadabu mwana wa Rekabu babu yetu katika kila jambo ambalo alituamuru+ kwa kutokunywa divai yoyote siku zetu zote, sisi, wake zetu, wana wetu na binti zetu,+
8 Kwa hiyo tunaendelea kuitii sauti ya Yehonadabu mwana wa Rekabu babu yetu katika kila jambo ambalo alituamuru+ kwa kutokunywa divai yoyote siku zetu zote, sisi, wake zetu, wana wetu na binti zetu,+