Yeremia 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Baada ya muda wakuu wa Yuda wakasikia maneno hayo, nao wakatoka katika nyumba ya mfalme wakapanda kwenda katika nyumba ya Yehova+ na kuketi katika mwingilio wa lango jipya la Yehova.+
10 Baada ya muda wakuu wa Yuda wakasikia maneno hayo, nao wakatoka katika nyumba ya mfalme wakapanda kwenda katika nyumba ya Yehova+ na kuketi katika mwingilio wa lango jipya la Yehova.+