Yeremia 36:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha ikawa kwamba mara tu Yehudi alipokuwa amesoma safu za kurasa tatu au nne, akakipasua kwa kisu cha mwandishi, na pia akakitupa katika moto uliokuwa katika lile jiko mpaka kitabu chote kilipoishia ndani ya ule moto uliokuwa katika jiko.+
23 Kisha ikawa kwamba mara tu Yehudi alipokuwa amesoma safu za kurasa tatu au nne, akakipasua kwa kisu cha mwandishi, na pia akakitupa katika moto uliokuwa katika lile jiko mpaka kitabu chote kilipoishia ndani ya ule moto uliokuwa katika jiko.+