4 Na wakuu wakaanza kumwambia mfalme: “Tafadhali, acha mtu huyu auawe,+ kwa maana hivyo ndivyo anavyoidhoofisha mikono ya watu wa vita ambao wamebaki ndani ya jiji hili na mikono ya watu wote, kwa kuwaambia maneno haya.+ Kwa maana mtu huyu hatafuti amani ya watu hawa bali msiba.”