Yeremia 38:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe wakamvuta Yeremia nje kwa zile kamba na kumtoa ndani ya lile tangi. Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+
13 Mwishowe wakamvuta Yeremia nje kwa zile kamba na kumtoa ndani ya lile tangi. Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+